Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 12:24 - Swahili Revised Union Version

24 na mfalme wa Tirza, mmoja; wafalme hao wote walikuwa ni thelathini na mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 mfalme wa Tirza. Jumla ya wafalme hao ni thelathini na mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 mfalme wa Tirza. Jumla ya wafalme hao ni thelathini na mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 mfalme wa Tirza. Jumla ya wafalme hao ni thelathini na mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 mfalme wa Tirsa; jumla ya wafalme thelathini na mmoja (31).

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 na mfalme wa Tirza, mmoja; wafalme hao wote walikuwa ni thelathini na mmoja.

Tazama sura Nakili




Yoshua 12:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mkewe Yeroboamu akaondoka, akaenda zake, akafika Tirza; naye alipofika kizingitini kwa nyumba, huyo kijana akafa.


Katika mwaka wa thelathini na moja wa Asa, mfalme wa Yuda, Omri alianza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka kumi na miwili. Akatawala huko Tirza miaka sita.


Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza, akaja Samaria, akampiga Shalumu mwana wa Yabeshi huko Samaria, akamwua, akatawala mahali pake.


Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja huko Yerusalemu.


Basi wale watoto wakaingia wakaimiliki nchi, nawe ukawatiisha wenyeji wa nchi mbele yao, ndio Wakanaani, ukawatia mikononi mwao, pamoja na wafalme wao, na watu wa nchi, wawatende kama wapendavyo.


Sihoni, mfalme wa Waamori, Na Ogu, mfalme wa Bashani, Na falme zote za Kanaani.


Na wafalme wao atakutilia mkononi mwako, nawe utalipoteza jina lao litoke chini ya mbingu; hapana mtu atakayeweza kusimama mbele yako, hata utakapokwisha kuwaangamiza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo