Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 12:18 - Swahili Revised Union Version

18 mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 mfalme wa Afeka, mfalme wa Lasharoni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 mfalme wa Afeka, mfalme wa Lasharoni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 mfalme wa Afeka, mfalme wa Lasharoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 mfalme wa Afeki; mfalme wa Lasharoni;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;

Tazama sura Nakili




Yoshua 12:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Lifungue dirisha linaloelekea mashariki; akalifungua. Basi Elisha akasema, Piga; akapiga. Akasema, Mshale wa BWANA wa kushinda, naam, mshale wa kushinda Shamu, kwa maana utawapiga Washami katika Afeki hata utakapowaangamiza.


Nchi inaomboleza, na kulegea; Lebanoni imetahayarika na kunyauka; Sharoni imekuwa kama jangwa; Bashani na Karmeli zimepukutika majani.


mfalme wa Madoni, mmoja; na mfalme wa Hazori, mmoja;


upande wa kusini; nchi yote ya Wakanaani na Meara iliyo ya Wasidoni, mpaka Afeka, hata mpaka wa Waamori;


na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.


Basi hao Wafilisti wakakusanya majeshi yao yote huko Afeki; nao Waisraeli wakafanya kambi karibu na chemchemi iliyoko Yezreeli.


[Ikawa siku zile Wafilisti walikusanyika ili kupigana na Israeli,] nao Waisraeli wakatoka juu ya Wafilisti kwenda vitani; wakatua karibu na Ebenezeri, nao Wafilisti wakatua huko Afeki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo