Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 12:16 - Swahili Revised Union Version

16 mfalme wa Makeda, mmoja; na mfalme wa Betheli, mmoja;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 mfalme wa Makeda; mfalme wa Betheli;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 mfalme wa Makeda, mmoja; na mfalme wa Betheli, mmoja;

Tazama sura Nakili




Yoshua 12:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; Betheli ilikuwa upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.


Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.


Siku hiyo Yoshua akautwaa mji wa Makeda, akaupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake; akawaangamiza kabisa na wote pia waliokuwamo ndani yake, hakumwacha hata mmoja aliyesalia; naye akamfanyia huyo mfalme wa Makeda kama alivyomfanyia huyo mfalme wa Yeriko.


mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;


mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;


Hakusalia mtu yeyote ndani ya Ai, au katika Betheli, asiyetoka nje kuwafuatia Israeli; wakauacha mji wazi na kuwafuatia Israeli.


Nyumba ya Yusufu nayo, wao nao walikwea kwenda juu ya Betheli; naye BWANA alikuwa pamoja nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo