Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yona 4:7 - Swahili Revised Union Version

7 Lakini siku ya pili kulipopambazuka, Mungu akatayarisha buu, nalo likautafuna ule mtango, ukakatika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini siku ya pili, kulipopambazuka, Mungu akaamuru mdudu auharibu mmea huo, ukanyauka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini siku ya pili, kulipopambazuka, Mungu akaamuru mdudu auharibu mmea huo, ukanyauka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini siku ya pili, kulipopambazuka, Mungu akaamuru mdudu auharibu mmea huo, ukanyauka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Lakini kesho yake asubuhi na mapema Mungu akaamuru buu, autafune mzabibu huo nao ukanyauka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Lakini kesho yake asubuhi na mapema Mungu akaamuru buu, autafune mzabibu huo nao ukanyauka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Lakini siku ya pili kulipopambazuka, Mungu akatayarisha buu, nalo likautafuna ule mtango, ukakatika.

Tazama sura Nakili




Yona 4:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.


Kwa sababu ya ghadhabu yako na hasira yako; Maana umeniinua na kunitupilia mbali.


Mzabibu umesinyaa, mtini nao umevia; Nao mkomamanga na mtende na mtofaa; Naam, miti yote ya mashamba imekauka; Maana furaha imetoweka kwa wanadamu.


Na BWANA Mungu aliutayarisha mtango, akaufanya ukue juu ya Yona, ili uwe kivuli juu ya kichwa chake, na kumponya katika hali yake mbaya. Basi Yona akafurahi sana kwa sababu ya ule mtango.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo