Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yona 1:15 - Swahili Revised Union Version

15 Basi wakamkamata Yona, wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, na papo hapo bahari ikatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, na papo hapo bahari ikatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, na papo hapo bahari ikatulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kisha wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kisha walimchukua Yona, wakamtupa baharini nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Basi wakamkamata Yona, wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.

Tazama sura Nakili




Yona 1:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha wakaizika mifupa ya Sauli na ya Yonathani mwanawe katika nchi ya Benyamini, huko Zela, kaburini mwa Kishi babaye; wakafanya yote aliyoyaamuru mfalme. Na baadaye Mungu aliiridhia hiyo nchi.


Huituliza dhoruba, ikawa shwari, Mawimbi yake yakanyamaza.


Watuliza kuvuma kwa bahari, Kuvuma kwa mawimbi yake, Na ghasia za watu;


Wewe ndiwe ukitawalaye kiburi cha bahari. Mawimbi yake yainukapo, wewe unayatuliza.


Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?


Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana mkubwa, Bwana mkubwa, tunaangamia. Akaamka, akaukemea upepo na msukosuko wa maji, vikakoma; kukawa shwari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo