Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yona 1:11 - Swahili Revised Union Version

11 Basi wakamwambia, Tukutende nini, ili bahari itulie? Kwa maana bahari ilikuwa inazidi kuchafuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wakati huo wote, bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Basi, wakamwuliza Yona, “Tukufanye nini ili bahari itulie?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wakati huo wote, bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Basi, wakamwuliza Yona, “Tukufanye nini ili bahari itulie?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wakati huo wote, bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Basi, wakamwuliza Yona, “Tukufanye nini ili bahari itulie?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Kwa hiyo walimuuliza, “Tukutendee nini ili kufanya bahari itulie kwa ajili yetu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Kwa hiyo walimuuliza, “Tukutendee nini ili kufanya bahari itulie kwa ajili yetu?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Basi wakamwambia, Tukutende nini, ili bahari itulie? Kwa maana bahari ilikuwa inazidi kuchafuka.

Tazama sura Nakili




Yona 1:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo watu wale wakaogopa mno, wakamwambia, Ni jambo gani hili ulilolitenda! Kwa maana watu wale walijua ya kuwa amekimbia, ajiepushe na uso wa BWANA, kwa sababu alikuwa amewaambia.


Naye akawaambia, Nikamateni, mnitupe baharini; kisha bahari itatulia; kwa maana najua ya kuwa ni kwa ajili yangu tufani hii imewapata.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo