Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:10 - Swahili Revised Union Version

10 Yesu akainuka asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, “Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, “Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, “Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Isa akainuka na kumwambia, “Mwanamke, wako wapi wale waliokuwa wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Isa akainuka na kumwambia, “Wako wapi wale waliokuwa wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Yesu akainuka asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?

Tazama sura Nakili




Yohana 8:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo