Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:51 - Swahili Revised Union Version

51 Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 “Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 “Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

51 Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?

Tazama sura Nakili




Yohana 7:51
8 Marejeleo ya Msalaba  

Usivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo.


Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.


Mtu yeyote atakayemwua mtu, huyo mwuaji atauawa kwa vinywa vya mashahidi; lakini shahidi mmoja hatashuhudia juu ya mtu akauliwa.


Ndipo Paulo akamwambia, Mungu atakupiga wewe, ukuta uliopakwa chokaa. Wewe umeketi kunihukumu kulingana na sheria, nawe unaamuru nipigwe kinyume cha sheria?


Msitazame nafsi za watu katika hukumu; muwasikize wadogo na wakubwa sawasawa; msiche uso wa mtu yeyote; kwa kuwa hukumu ni ya Mungu; na lile neno liwashindalo mniletee mimi, nami nitalisikiza.


Huyo atakayeuawa na auawe kwa midomo ya mashahidi wawili, au mashahidi watatu; asiuawe kwa mdomo wa shahidi mmoja. Ebr 10:28


Tufuate:

Matangazo


Matangazo