Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:34 - Swahili Revised Union Version

34 Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Watakwenda na makundi yao ya kondoo na ng'ombe wamtafute BWANA; lakini hawatamwona; amejitenga nao.


Kwa maana nawaambia, Hamtaniona kamwe tangu sasa, hadi mtakaposema, Amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana.


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja nami popote nilipo, wapate na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi ulimwengu.


Ni neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo