Yohana 7:27 - Swahili Revised Union Version27 Lakini huyu twamjua atokako; bali Kristo atakapokuja hakuna ajuaye atokako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Tunafahamu huyu mtu anakotoka, lakini Al-Masihi atakapokuja, hakuna yeyote atakayejua atokako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Tunafahamu huyu mtu anakotoka, lakini Al-Masihi atakapokuja, hakuna yeyote atakayejua atokako.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI27 Lakini huyu twamjua atokako; bali Kristo atakapokuja hakuna ajuaye atokako. Tazama sura |