Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:55 - Swahili Revised Union Version

55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

55 Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

55 Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

55 Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:55
11 Marejeleo ya Msalaba  

Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.


Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.


Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.


Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Sio Musa aliyewapa chakula kile cha mbinguni, bali Baba yangu anawapa ninyi chakula cha kweli kitokacho mbinguni.


Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.


Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake.


Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli;


Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.


mhudumu wa patakatifu, na wa ile hema ya kweli, ambayo Bwana aliiweka wala si mwanadamu.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo