Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 21:24 - Swahili Revised Union Version

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya: nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Huyo ndiye yule aliyeshuhudia mambo haya na kuyaandika. Nasi twajua kwamba aliyoyasema ni kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Huyo ndiye yule aliyeshuhudia mambo haya na kuyaandika. Nasi twajua kwamba aliyoyasema ni kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Huyo ndiye yule aliyeshuhudia mambo haya na kuyaandika. Nasi twajua kwamba aliyoyasema ni kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya, na ndiye ameandika habari hizi. Nasi tunajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na ndiye ambaye ameandika habari hizi. Nasi tunajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya: nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli.

Tazama sura Nakili




Yohana 21:24
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi pia mnashuhudia, kwa kuwa tangu mwanzo mmekuwapo pamoja nami.


Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda wake ni kweli; naye anajua ya kuwa anasema kweli ili ninyi nanyi mpate kusadiki.


Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu, Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika damu.


Demetrio ameshuhudiwa na watu wote, tena na ile kweli yenyewe. Nasi pia tunashuhudia, nawe wajua ya kwamba ushuhuda wetu ni kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo