Yohana 2:20 - Swahili Revised Union Version20 Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arubaini na sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Hapo Wayahudi wakasema, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arubaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Hapo Wayahudi wakasema, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arubaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Hapo Wayahudi wakasema, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arubaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Wale Wayahudi wakamjibu, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita, nawe wasema utalijenga kwa siku tatu?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Wale Wayahudi wakamjibu, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita, nawe wasema utalijenga kwa siku tatu?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu? Tazama sura |