Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 19:8 - Swahili Revised Union Version

8 Basi Pilato aliposikia neno hilo, akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Pilato aliposikia haya, akaogopa zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Pilato aliposikia haya, akaogopa zaidi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Basi Pilato aliposikia neno hilo, akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili




Yohana 19:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Pilato, aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.


Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


Akaingia tena ndani ya ile Praitorio, akamwambia Yesu, Wewe umetoka wapi? Lakini Yesu hakumpa jibu lolote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo