Yohana 19:36 - Swahili Revised Union Version36 Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Kwa maana mambo haya yalitukia ili andiko litimie, lisemalo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Kwa maana mambo haya yalitukia ili Maandiko yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI36 Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Tazama sura |