Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 18:34 - Swahili Revised Union Version

34 Yesu akamjibu, Wewe wasema hivi kwa nafsi yako, au watu wengine walikuambia habari zangu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Yesu akamjibu, “Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekuambia habari zangu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Yesu akamjibu, “Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekuambia habari zangu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Yesu akamjibu, “Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekuambia habari zangu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Isa akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Isa akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Yesu akamjibu, Wewe wasema hivi kwa nafsi yako, au watu wengine walikuambia habari zangu?

Tazama sura Nakili




Yohana 18:34
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Pilato akaingia tena ndani ya Praitorio, akamwita Yesu, akamwambia, Je! Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?


Pilato akajibu, Ama! Ni Myahudi mimi! Taifa lako na wakuu wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?


Akaingia tena ndani ya ile Praitorio, akamwambia Yesu, Wewe umetoka wapi? Lakini Yesu hakumpa jibu lolote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo