Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 18:2 - Swahili Revised Union Version

2 Naye Yuda, yule aliyetaka kumsaliti, alipajua mahali pale; kwa sababu Yesu alikuwa akienda huko mara nyingi pamoja na wanafunzi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Basi Yuda, aliyemsaliti, alipafahamu mahali hapo, kwani Isa alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Isa alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Naye Yuda, yule aliyetaka kumsaliti, alipajua mahali pale; kwa sababu Yesu alikuwa akienda huko mara nyingi pamoja na wanafunzi wake.

Tazama sura Nakili




Yohana 18:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana, umrehemu mwanangu, kwa kuwa ana kifafa, na kuteswa vibaya; maana mara nyingi huanguka motoni, na mara nyingi majini.


Basi, kila mchana alikuwa akifundisha hekaluni, na usiku huenda kulala katika mlima uitwao wa Mizeituni.


Akatoka akaenda mpaka mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa desturi yake; wanafunzi wake nao wakafuatana naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo