Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 16:14 - Swahili Revised Union Version

14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:14
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitawamwagia watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimdunga; nao watamwombolezea, kama vile mtu amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza.


Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.


Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.


Na neno hilo alilisema kuhusu Roho, ambaye wale wamwaminio watampokea baadaye; kwa maana Roho alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa.


Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la haki kwa njia ya imani.


Basi, heshima hii ni kwenu ninyi mnaoamini. Bali kwao wasioamini, Jiwe walilolikataa waashi, Limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.


Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu, Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika damu.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo