Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 13:38 - Swahili Revised Union Version

38 Yesu akamjibu, Je! Wewe utautoa uhai wako kwa ajili yangu? Amin, amin, nakuambia, Jogoo hatawika hadi wewe utakapokuwa umenikana mara tatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Yesu akajibu, “Je, uko tayari kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli nakuambia, kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Yesu akajibu, “Je, uko tayari kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli nakuambia, kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Yesu akajibu, “Je, uko tayari kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli nakuambia, kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Isa akamjibu, “Je, ni kweli uko tayari kuutoa uhai wako kwa ajili yangu? Amin, amin nakuambia, kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Isa akamjibu, “Je, ni kweli uko tayari kuutoa uhai wako kwa ajili yangu? Amin, amin nakuambia, kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Yesu akamjibu, Je! Wewe utautoa uhai wako kwa ajili yangu? Amin, amin, nakuambia, Jogoo hatawika hadi wewe utakapokuwa umenikana mara tatu.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:38
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.


Mwenye kujitumainia moyo wake ni mjinga; Bali yeye aendaye kwa busara ataokolewa.


Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia wewe, usiku huu kabla ya kuwika jogoo, utanikana mara tatu.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia wewe, Leo, usiku huu, kabla ya kuwika jogoo mara mbili, utanikana mara tatu.


Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni.


Akasema, Nakuambia, Petro, jogoo hatawika leo, kabla wewe hujanikana mara tatu ya kuwa hunijui.


Yesu akawajibu, Je! Mnasadiki sasa?


Akamwambia mara ya tatu, Simoni wa Yohana, wanipenda? Petro alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara ya tatu, Wanipenda? Akamwambia, Bwana, wewe wajua yote; wewe umetambua ya kuwa nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha kondoo wangu.


Jambo hili likatendeka mara tatu, kisha vitu vyote vikavutwa tena juu mbinguni.


Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo