Yohana 13:32 - Swahili Revised Union Version32 Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi yake; naye atamtukuza mara. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Ikiwa Mungu ametukuzwa ndani ya Mwana, Mungu atamtukuza Mwana ndani yake mwenyewe, naye atamtukuza mara moja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Ikiwa Mungu ametukuzwa ndani ya Mwana, Mungu atamtukuza Mwana ndani yake mwenyewe naye atamtukuza mara. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi yake; naye atamtukuza mara. Tazama sura |