Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 13:32 - Swahili Revised Union Version

32 Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi yake; naye atamtukuza mara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Ikiwa Mungu ametukuzwa ndani ya Mwana, Mungu atamtukuza Mwana ndani yake mwenyewe, naye atamtukuza mara moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Ikiwa Mungu ametukuzwa ndani ya Mwana, Mungu atamtukuza Mwana ndani yake mwenyewe naye atamtukuza mara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi yake; naye atamtukuza mara.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:32
12 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yesu akawajibu, akasema, Saa imefika atukuzwe Mwana wa Adamu.


Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


Naye yuko katika mkono wa kulia wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zikiisha kutiishwa chini yake.


Kisha akanionesha mto wa maji ya uzima, wenye kung'aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-kondoo,


Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.


Wala hapatakuwa na laana yoyote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-kondoo kitakuwamo ndani yake. Na watumishi wake watamtumikia;


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo