Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 13:30 - Swahili Revised Union Version

30 Basi huyo, akiisha kulipokea lile tonge, akatoka mara hiyo. Nako kulikuwa ni usiku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Mara tu baada ya kupokea ule mkate, Yuda akatoka nje. Wakati huo ulikuwa ni usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Mara tu baada ya kupokea ule mkate, Yuda akatoka nje. Wakati huo ulikuwa ni usiku.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Basi huyo, akiisha kulipokea lile tonge, akatoka mara hiyo. Nako kulikuwa ni usiku.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara; Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu.


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


Kila siku nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni hamkuninyoshea mikono, lakini hii ndiyo saa yenu, na mamlaka ya giza.


Basi Yesu akajibu, Ndiye mtu yule nitakayemtowelea tonge na kumpa. Akatowelea tonge, akalitwaa akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti.


Miguu yao ina mbio kumwaga damu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo