Yohana 13:30 - Swahili Revised Union Version30 Basi huyo, akiisha kulipokea lile tonge, akatoka mara hiyo. Nako kulikuwa ni usiku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Mara tu baada ya kupokea ule mkate, Yuda akatoka nje. Wakati huo ulikuwa ni usiku. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Mara tu baada ya kupokea ule mkate, Yuda akatoka nje. Wakati huo ulikuwa ni usiku. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Basi huyo, akiisha kulipokea lile tonge, akatoka mara hiyo. Nako kulikuwa ni usiku. Tazama sura |