Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 13:28 - Swahili Revised Union Version

28 Wala hakuna mtu katika wale walioketi chakulani aliyeijua sababu ya kumwambia hivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Isa alimwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Isa alimwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Wala hakuna mtu katika wale walioketi chakulani aliyeijua sababu ya kumwambia hivyo.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:28
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na baada ya hilo tonge Shetani alimwingia. Basi Yesu akamwambia, Uyatendayo yatende upesi.


Kwa maana wengine walidhania, kwa kuwa Yuda huchukua mfuko, ya kwamba Yesu alimwambia kama, Nunua mnavyovihitaji kwa sikukuu; au kwamba awape maskini kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo