Yohana 12:41 - Swahili Revised Union Version41 Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa aliuona utukufu wake, akataja habari zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema41 Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND41 Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza41 Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu41 Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Isa na kunena habari zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu41 Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Isa na kunena habari zake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI41 Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa aliuona utukufu wake, akataja habari zake. Tazama sura |