Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 8:16 - Swahili Revised Union Version

16 Yeye huwa mti mbichi mbele ya jua, Nayo machipukizi yake huenea katika bustani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua, ukieneza machipukizi yake bustanini;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua, ukieneza machipukizi yake bustanini;

Tazama sura Nakili




Yobu 8:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.


Mizizi yake huzongazonga chuguu, Huangalia mahali penye mawe.


Nao uliyaeneza matawi yake hadi baharini, Na vichipukizi vyake hadi kunako Mto.


BWANA alikuita jina lako, Mzeituni wenye majani mabichi, mzuri, wenye matunda mema; kwa kelele za mshindo mkuu amewasha moto juu yake, na matawi yake yamevunjika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo