Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 4:7 - Swahili Revised Union Version

7 Kumbuka, tafadhali, ni nani aliyeangamia akiwa hana hatia? Au ni wapi hao waelekevu walikatiliwa mbali?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Fikiri sasa: Nani asiye na hatia ambaye amepata kuangamia? Au, je, waadilifu wamepata kutupwa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Fikiri sasa: Nani asiye na hatia ambaye amepata kuangamia? Au, je, waadilifu wamepata kutupwa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Fikiri sasa: nani asiye na hatia ambaye amepata kuangamia? Au, je, waadilifu wamepata kutupwa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 “Fikiri sasa: Ni mtu yupi asiye na hatia ambaye aliwahi kuangamia? Ni wapi wanyofu waliwahi kuangamizwa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 “Fikiri sasa: Ni mtu yupi asiye na hatia ambaye aliwahi kuangamia? Ni wapi wanyofu waliwahi kuangamizwa?

Tazama sura Nakili




Yobu 4:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hauhifadhi uhai wa waovu; Lakini huwapa wateswao haki yao.


Yeye hawaondolei macho yake wenye haki; Lakini pamoja na wafalme huwaweka Katika viti vya enzi milele, nao hutukuzwa.


Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, Wala hatawathibitisha watendao uovu.


Nilikuwa kijana na sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzawa wake akiomba chakula.


Mambo hayo yote nimeyaona mimi katika siku za ubatili wangu, yuko mwenye haki apoteaye katika haki yake, yuko na mtu mwovu azidishaye maisha yake katika udhalimu wake.


Wenyeji walipomwona yule nyoka akilewalewa mkononi, wakaambiana, Hakosi mtu huyu ni mwuaji; ambaye ijapokuwa ameokoka katika bahari haki haimwachi kuishi.


basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya hukumu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo