Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 32:1 - Swahili Revised Union Version

1 Basi hao watu watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa sababu alikuwa mwenye haki machoni pake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Basi hawa watu watatu: Elifazi, Bildadi na Sofari, wakaacha kumjibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi hawa watu watatu: Elifazi, Bildadi na Sofari, wakaacha kumjibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi hawa watu watatu: Elifazi, Bildadi na Sofari, wakaacha kumjibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Basi hao watu watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa sababu alikuwa mwenye haki machoni pake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Yobu 32:1
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nitamwambia Mungu, Usinihukumie makosa; Nijulishe kwa nini unapingana nami.


Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu; Wala hapana awezaye kuokoa kutoka kwa mkono wako?


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Angalieni sasa, nimekwisha kulitengeneza neno langu, Najua ya kuwa mimi ni mwenye haki.


Kwani uovu wako unakufundisha kinywa chako, Nawe wachagua ulimi wake mwenye hila.


Je! Uovu wako si mkuu? Wala maovu yako hayana mwisho.


Hapo waelekevu wangepata kuhojiana naye; Basi hivyo ningeachiliwa na mwamuzi wangu milele.


Hakika umenena masikioni mwangu, Nami nimesikia sauti ya maneno yako, ukisema,


Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo