Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 27:4 - Swahili Revised Union Version

4 Hakika midomo yangu haitanena yasiyo haki, Wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 midomo yangu kamwe haitatamka uongo, wala ulimi wangu kusema udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 midomo yangu kamwe haitatamka uongo, wala ulimi wangu kusema udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 midomo yangu kamwe haitatamka uongo, wala ulimi wangu kusema udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.

Tazama sura Nakili




Yobu 27:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mtanena yasiyo ya haki kwa ajili ya Mungu, Na kusema kwa udanganyifu kwa ajili yake?


Ijapokuwa hakuna udhalimu mikononi mwangu, Na kuomba kwangu ni safi.


Na kama sivyo sasa, ni nani atakayenihukumu mimi kuwa ni mwongo, Na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?


Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.


Nijapokuwa mwenye haki, nimehesabiwa kuwa mwongo; Jeraha langu haliponyeki, nijapokuwa sina makosa.


Sasa basi iweni radhi kuniangalia; Kwani hakika sitanena uongo usoni penu.


Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nilishika.


Kama vile ile kweli ya Kristo ilivyo ndani yangu, hakuna mtu atakayenifumba kinywa katika kujisifu huku, katika mipaka ya Akaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo