Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 22:4 - Swahili Revised Union Version

4 Je! Ni kwa wewe kumcha yeye anakukemea? Na kuingia hukumuni nawe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Unadhani anakurudi na kukuhukumu kwa sababu wewe unamheshimu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Unadhani anakurudi na kukuhukumu kwa sababu wewe unamheshimu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Unadhani anakurudi na kukuhukumu kwa sababu wewe unamheshimu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 “Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea na kuleta mashtaka dhidi yako?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 “Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea na kuleta mashtaka dhidi yako?

Tazama sura Nakili




Yobu 22:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?


Laiti angemtolea mtu hoja mbele ya Mungu, Amtetee na mwanadamu mbele ya jirani yake.


Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.


Je! Mwenyezi hupata furaha katika wewe kuwa mwenye haki? Au je, ni faida kwake, kwamba wafanya njia zako kuwa timilifu?


Kwani yeye hana haja ya kumfikiria mtu zaidi, ili aende mbele za Mungu ahukumiwe.


Je! Mimi ni bahari, au je! Ni nyangumi? Hata ukawaweka walinzi juu yangu?


Kama tukitaja nguvu za mashujaa, tazama yupo hapo! Kama tukitaja hukumu, ni nani atakayemwita mahakamani?


Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.


Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.


Ukimrudi mtu kwa kumkemea kwa uovu wake, Watowesha uzuri wake kama nondo. Kila mwanadamu ni ubatili.


Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito.


Umechomwa moto; umekatwa; Kwa lawama ya uso wako wanapotea.


Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo