Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 19:2 - Swahili Revised Union Version

2 Je! Mtanichukiza nafsi yangu hata lini, Na kunivunjavunja kwa maneno?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Mtaendelea kunitesa mpaka lini, na kunivunjavunja kwa maneno?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Mtaendelea kunitesa mpaka lini, na kunivunjavunja kwa maneno?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Mtaendelea kunitesa mpaka lini, na kunivunjavunja kwa maneno?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Je, mtaendelea kunitesa hadi lini, na kuniponda kwa maneno yenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Je, mtaendelea kunitesa mpaka lini, na kuniponda kwa maneno yenu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Je! Mtanichukiza nafsi yangu hata lini, Na kunivunjavunja kwa maneno?

Tazama sura Nakili




Yobu 19:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.


Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,


Mara kumi hizi mmenishutumu; Hamwoni haya kunifanyia mambo magumu.


Tazama, ninyi nyote mmeyaona wenyewe; Mbona basi mmebatilika kabisa?


Kama aishivyo Mungu, aliyeniondolea haki yangu; Huyo Mwenyezi aliyeitesa nafsi yangu;


Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?


Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Tazama, kwa vinywa vyao huteuka, Midomoni mwao mna panga, Kwa maana ni nani asikiaye?


Waliounoa ulimi wao kama upanga, Wanaoyalenga maneno ya uchungu kama mishale,


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, na Mkweli, utakawia hadi lini kuhukumu na kuilipa damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?


Hatimaye, kwa vile alivyomsumbua kwa maneno yake kila siku, na kumuudhi, roho yake ikataabika karibu kufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo