Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 18:4 - Swahili Revised Union Version

4 Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Wewe unajirarua mwenyewe kwa hasira zako. Kwani, dunia itaachwa tupu kwa ajili yako au miamba ihamishwe toka mahali pake?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Wewe unajirarua mwenyewe kwa hasira zako. Kwani, dunia itaachwa tupu kwa ajili yako au miamba ihamishwe toka mahali pake?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Wewe unajirarua mwenyewe kwa hasira zako. Kwani, dunia itaachwa tupu kwa ajili yako au miamba ihamishwe toka mahali pake?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?

Tazama sura Nakili




Yobu 18:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nitaitwaa nyama ya mwili wangu katika meno yangu, Na kuutwaa uhai wangu mkononi mwangu!


Lakini, tazama, mlima ukianguka hutoweka, Nalo jabali huondolewa mahali pake;


Amenirarua katika ghadhabu zake, na kunionea; Amesagasaga meno juu yangu; Mtesi wangu hunikazia macho makali.


Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?


Naam, mwanga wa waovu utazimika, Wala muali wa moto wake hautang'aa.


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.


Ndipo akaniambia, Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda ni mwingi sana, nayo nchi imejaa damu, nao mji umejaa kupotosha hukumu; maana husema, BWANA ameiacha nchi hii, naye BWANA haoni.


Mungu akamwambia Yona, Je! Unatenda vema kukasirika kwa ajili ya mtango? Naye akasema, Ndiyo, natenda vema kukasirika hata kufa.


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


na kila ampagaapo, humbwaga chini, naye hutoka povu na kusaga meno na kukonda; nikasema na wanafunzi wako wamtoe pepo, wasiweze.


Na tazama, pepo humpagaa, naye mara hupiga kelele; tena humtia kifafa, huku anatokwa na povu, wala hamwachi ila kwa shida, akimchubua-chubua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo