Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 17:4 - Swahili Revised Union Version

4 Kwa kuwa umezifumba akili zao ufahamu; Kwa hiyo hutawaacha wanishinde.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Maadamu umezifumba akili za rafiki zangu; usiwaache basi wanishinde.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Maadamu umezifumba akili za rafiki zangu; usiwaache basi wanishinde.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Maadamu umezifumba akili za rafiki zangu; usiwaache basi wanishinde.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Kwa kuwa umezifumba akili zao ufahamu; Kwa hiyo hutawaacha wanishinde.

Tazama sura Nakili




Yobu 17:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


Naye Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema, Ushauri wa Hushai, Mwarki, ni mwema kuliko ushauri wa Ahithofeli. Kwa maana BWANA alikuwa amekusudia kuuvunja ushauri mwema wa Ahithofeli, ili BWANA alete mabaya juu ya Absalomu.


Ikawa, aliposema naye, mfalme akamwambia, Je! Tumekutia wewe kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza; kwa nini upigwe? Ndipo yule nabii akaacha, akasema, Najua ya kuwa Mungu amekusudia kukuangamiza, kwa sababu umeyafanya haya, wala hukulisikiliza shauri langu.


Huondoa usemi wa hao walioaminiwa, Na kuondoa fahamu za wazee.


Awafitiniye rafiki zake wawe mawindo, Hata macho ya watoto wake yataingia kiwi.


Yeye BWANA ametia roho ya ushupavu katika moyo wa Misri, nao wameikosesha Misri katika matendo yake yote, kama mlevi aendavyo huku na huko akitapika.


Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.


Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho ya usingizi, macho hata wasione, na masikio hata wasisikie, hata siku hii ya leo.


Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi mleta hoja wa nyakati hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo