Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 16:6 - Swahili Revised Union Version

6 Nijapokuwa nanena, huzuni yangu haitulizwi; Nijapokuwa najizuia, nimepunguziwa kitu gani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 “Lakini nikisema maumivu yangu hayatulii, na nikikaa kimya hayaondoki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 “Lakini nikisema maumivu yangu hayatulii, na nikikaa kimya hayaondoki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 “Lakini nikisema maumivu yangu hayatulii, na nikikaa kimya hayaondoki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 “Lakini nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; na nikijizuia, bado hayaondoki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 “Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.

Tazama sura Nakili




Yobu 16:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Lakini ningewatia nguvu kwa kinywa changu, Na maliwazo ya midomo yangu yangewatuliza.


Nikisema, Mimi nitasahau kuugua kwangu, Nitaacha kununa uso nikachangamke moyo;


Mimi ninayaogopa mateso yangu yote, Najua kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo