Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 16:2 - Swahili Revised Union Version

2 Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Mambo kama hayo nimeyasikia mengi; nyinyi ni wafariji duni kabisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Mambo kama hayo nimeyasikia mengi; nyinyi ni wafariji duni kabisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Mambo kama hayo nimeyasikia mengi; nyinyi ni wafariji duni kabisa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.

Tazama sura Nakili




Yobu 16:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,


Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.


Jinsi yafaavyo maneno ya uelekevu! Lakini shutuma zenu, je! Zimeonya nini?


Je! Kitu kisicho na ladha chaweza kulika bila chumvi? Au je, uto wa yai una tamu iwayo yote?


Laumu imenivunja moyo, Nami ninaugua sana. Nikangoja aje wa kunihurumia, wala hakuna; Na wa kunifariji, wala sikumwona mtu.


Maana wanamwudhi mtu uliyempiga Wewe, Wanazidisha maumivu ya hao uliowatia jeraha.


Hawa wanamhubiri kwa pendo, wakijua ya kuwa nimewekwa ili niitetee Injili;


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo