Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:5 - Swahili Revised Union Version

5 Kwani uovu wako unakufundisha kinywa chako, Nawe wachagua ulimi wake mwenye hila.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Uovu wako ndio unaokifundisha kinywa chako, nawe wachagua kusema kama wadanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Uovu wako ndio unaokifundisha kinywa chako, nawe wachagua kusema kama wadanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Uovu wako ndio unaokifundisha kinywa chako, nawe wachagua kusema kama wadanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Dhambi yako inasukuma kinywa chako, nawe umechagua ulimi wa hila.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Dhambi yako inasukuma kinywa chako, nawe umechagua ulimi wa hila.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Kwani uovu wako unakufundisha kinywa chako, Nawe wachagua ulimi wake mwenye hila.

Tazama sura Nakili




Yobu 15:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

Tena akuoneshe hizo siri za hekima, Ya kuwa hufanikiwa katika kuyatimiza makusudi yake! Ujue basi ya kuwa Mungu akuachilia katika uovu wako.


Hema za wanyang'anyi hufanikiwa, Na hao wamkasirishao Mungu hukaa salama; Mikononi mwao Mungu huleta vitu vingi.


Naam, wewe wapuuza hofu ya Mungu, Nawe wazuia ibada mbele za Mungu.


Je! Uovu wako si mkuu? Wala maovu yako hayana mwisho.


Basi hao watu watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa sababu alikuwa mwenye haki machoni pake mwenyewe.


Ndipo zikawaka hasira za huyo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, katika jamaa ya Ramu, juu ya Ayubu, kwa sababu alikuwa amejipa haki mwenyewe zaidi ya Mungu.


Yeye huitangua mipango ya wadanganyifu, Mikono yao isipate kuyatimiza makusudi yao.


Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao wenyewe; Na mashauri ya washupavu yaharibika kwa haraka.


Waliounoa ulimi wao kama upanga, Wanaoyalenga maneno ya uchungu kama mishale,


Ulimi wao ni mshale ufishao; husema maneno ya hadaa; mtu mmoja husema maneno ya amani na mwenzake kwa kinywa chake, lakini moyoni mwake humwotea.


Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo