Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 14:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kuhojiana naye?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kuhojiana naye?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kuhojiana naye?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo? Je, utamleta mbele yako katika hukumu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo? Je, utamleta mbele yako katika hukumu?

Tazama sura Nakili




Yobu 14:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Utalitaabisha jani lipeperushwalo? Au, je! Utayafuatia hayo mabua makavu?


Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyakagua mapito yangu yote; Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu;


Je! Ni kwa wewe kumcha yeye anakukemea? Na kuingia hukumuni nawe?


Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.


Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.


Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjali? Na binadamu hata umwangalie?


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo