Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 13:3 - Swahili Revised Union Version

3 Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi, Nami nataka kuhojiana na Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Lakini ningependa kusema na Mungu mwenye nguvu, natamani kujitetea mbele zake Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Lakini ningependa kusema na Mungu mwenye nguvu, natamani kujitetea mbele zake Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Lakini ningependa kusema na Mungu mwenye nguvu, natamani kujitetea mbele zake Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi, Nami nataka kuhojiana na Mungu.

Tazama sura Nakili




Yobu 13:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, laiti Mungu angenena, Na kuifunua midomo yake juu yako;


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Basi uite wakati huo, nami nitaitika; Au, niache ninene mimi, nawe unijibu.


Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikia! (Tazama, sahihi yangu ni hii, Mwenyezi na anijibu); Laiti ningekuwa na hayo mashitaka yaliyoandikwa na adui yangu!


Je! Mwenye hoja atashindana na Mwenyezi? Mwenye kujadiliana na Mungu, na ajibu yeye.


Lakini mimi ningemtafuta Mungu, Ningemwekea Mungu kesi yangu;


Kama akipenda kushindana naye, Hawezi kumjibu neno moja katika elfu.


Haya, leteni maneno yenu, asema BWANA; toeni hoja zenu zenye nguvu, asema mfalme wa Yakobo.


Sikieni, enyi milima, shutuma ya BWANA, na ninyi, enyi misingi ya dunia iliyo imara; kwa maana BWANA ana shutuma na watu wake, naye atahojiana na Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo