Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 13:16 - Swahili Revised Union Version

16 Hili nalo litakuwa ni wokovu wangu; Kwani asiyemcha Mungu hatakaribia mbele yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kama nikifaulu hapo nitakuwa nimeshinda, maana mtu mwovu hawezi kwenda mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kama nikifaulu hapo nitakuwa nimeshinda, maana mtu mwovu hawezi kwenda mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kama nikifaulu hapo nitakuwa nimeshinda, maana mtu mwovu hawezi kwenda mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!

Tazama sura Nakili




Yobu 13:16
15 Marejeleo ya Msalaba  

Sikieni sana maneno yangu, Maelezo yangu na yaingie masikioni mwenu.


Hapo waelekevu wangepata kuhojiana naye; Basi hivyo ningeachiliwa na mwamuzi wangu milele.


Kwani macho yake yako juu ya njia za mtu, Naye huziona hatua zake zote.


Lakini hao wasiomcha Mungu mioyoni hujiwekea hasira Hawalilii msaada hapo awafungapo.


Ndivyo ulivyo mwisho wa hao wamsahauo Mungu; Na matumaini yake huyo mbaya huangamia;


BWANA ni nguvu zangu na wimbo wangu, Naye amekuwa wokovu wangu.


Nitakushukuru kwa maana umenijibu, Nawe umekuwa wokovu wangu.


BWANA ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? BWANA ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani?


BWANA ni nguvu zangu, na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu; Ni Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza.


Wenye dhambi walio katika Sayuni wanaogopa; tetemeko limewashika wasiomcha Mungu; Ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto uangamizao; ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto uteketezao milele?


Ni kweli, msaada haufai unaotazamiwa kutoka milimani, makutano yenye mshindo juu ya milima; ni kweli, wokovu wa Israeli ni katika BWANA, Mungu wetu.


Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo