Yobu 13:16 - Swahili Revised Union Version16 Hili nalo litakuwa ni wokovu wangu; Kwani asiyemcha Mungu hatakaribia mbele yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kama nikifaulu hapo nitakuwa nimeshinda, maana mtu mwovu hawezi kwenda mbele yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kama nikifaulu hapo nitakuwa nimeshinda, maana mtu mwovu hawezi kwenda mbele yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kama nikifaulu hapo nitakuwa nimeshinda, maana mtu mwovu hawezi kwenda mbele yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake! Tazama sura |