Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 11:5 - Swahili Revised Union Version

5 Lakini, laiti Mungu angenena, Na kuifunua midomo yake juu yako;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Laiti Mungu angefungua kinywa chake akatoa sauti yake kukujibu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Laiti Mungu angefungua kinywa chake akatoa sauti yake kukujibu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Laiti Mungu angefungua kinywa chake akatoa sauti yake kukujibu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Aha! Laiti kwamba Mungu angesema, kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Aha! Laiti kwamba Mungu angesema, kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,

Tazama sura Nakili




Yobu 11:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa wewe wasema, Mafunzo yangu ni safi, Nami ni safi machoni pako.


Tena akuoneshe hizo siri za hekima, Ya kuwa hufanikiwa katika kuyatimiza makusudi yake! Ujue basi ya kuwa Mungu akuachilia katika uovu wako.


Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikia! (Tazama, sahihi yangu ni hii, Mwenyezi na anijibu); Laiti ningekuwa na hayo mashitaka yaliyoandikwa na adui yangu!


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo