Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 11:3 - Swahili Revised Union Version

3 Je! Majivuno yako yawanyamazishe watu wawe kimya? Nawe hapo ufanyapo dhihaka, je! Hapana mtu atakayekutahayarisha?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Je, kuropoka kwako kutanyamazisha watu? Na kama ukidhihaki, je, hamna atakayekuaibisha?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Je, kuropoka kwako kutanyamazisha watu? Na kama ukidhihaki, je, hamna atakayekuaibisha?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Je, kuropoka kwako kutanyamazisha watu? Na kama ukidhihaki, je, hamna atakayekuaibisha?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Je, maneno yako ya upuzi yawafanye watu wanyamaze kimya? Je, mtu asikukemee unapofanya dhihaka?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Je, maneno yako ya upuzi yawafanye watu wanyamaze kimya? Je, mtu asikukemee unapofanya dhihaka?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Je! Majivuno yako yawanyamazishe watu wawe kimya? Nawe hapo ufanyapo dhihaka, je! Hapana mtu atakayekutahayarisha?

Tazama sura Nakili




Yobu 11:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.


Je! Itafaa yeye kuwatafuta ninyi? Au, kama kumdanganya mtu, je! Mtamdanganya yeye?


Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.


Niacheni, nami pia nitanena; Tena nikiisha nena, zidini kudhihaki.


Na kama sivyo sasa, ni nani atakayenihukumu mimi kuwa ni mwongo, Na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?


Je! Ni mtu gani mfano wa Ayubu, Anywaye mzaha kama maji?


Bila heshima walinidhihaki kupindukia, Wakanisagia meno yao.


Uzijaze nyuso zao fedheha; Ili wapate kulitafuta jina lako, Ee BWANA.


Sikuketi katika mkutano wao wanaojifurahisha, wala sikufurahi, niliketi peke yangu kwa sababu ya mkono wako; kwa maana umenijaza ghadhabu.


Na ikiwa mtu awaye yote halishiki neno letu la barua hii, jihadharini na mtu huyo, wala msizungumze naye, apate kutahayari;


na maneno yafaayo yasiyoweza kuhukumiwa makosa, ili yule mwenye kupinga atahayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.


ya kwamba waliwaambia ya kuwa, Wakati wa mwisho watakuwako watu wenye kudhihaki, wakizifuata tamaa za upotevu wao wenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo