Yeremia 7:2 - Swahili Revised Union Version2 Simama langoni pa nyumba ya BWANA, ukatangaze hapo neno hili, ukisema, Sikilizeni neno la BWANA, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwabudu BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 kwenye lango la hekalu lake Mwenyezi-Mungu na kutangaza ujumbe huu: “Sikilizeni neno la Mwenyezi-Mungu enyi watu wa Yuda mnaoingia humu kumwabudu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 kwenye lango la hekalu lake Mwenyezi-Mungu na kutangaza ujumbe huu: “Sikilizeni neno la Mwenyezi-Mungu enyi watu wa Yuda mnaoingia humu kumwabudu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 kwenye lango la hekalu lake Mwenyezi-Mungu na kutangaza ujumbe huu: “Sikilizeni neno la Mwenyezi-Mungu enyi watu wa Yuda mnaoingia humu kumwabudu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Simama kwenye lango la nyumba ya Mwenyezi Mungu, na huko upige mbiu ya ujumbe huu: “ ‘Sikieni neno la Mwenyezi Mungu, enyi watu wote wa Yuda mliokuja kupitia malango haya ili kumwabudu Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Simama kwenye lango la nyumba ya bwana, na huko upige mbiu ya ujumbe huu: “ ‘Sikieni neno la bwana, enyi watu wote wa Yuda mliokuja kupitia malango haya ili kumwabudu bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Simama langoni pa nyumba ya BWANA, ukatangaze hapo neno hili, ukisema, Sikilizeni neno la BWANA, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwabudu BWANA. Tazama sura |