Yeremia 5:7 - Swahili Revised Union Version7 Nawezaje kukusamehe? Watoto wako wameniacha mimi, na kuapa kwa hao ambao si miungu; nilipokuwa nimewashibisha chakula, walizini, wakakutana wengi pamoja katika nyumba za makahaba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mwenyezi-Mungu anauliza: “Nitawezaje kukusamehe ee Yerusalemu? Watu wako wameniasi; wameapa kwa miungu ya uongo. Nilipowashibisha kwa chakula, wao walifanya uzinzi, wakajumuika majumbani mwa makahaba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mwenyezi-Mungu anauliza: “Nitawezaje kukusamehe ee Yerusalemu? Watu wako wameniasi; wameapa kwa miungu ya uongo. Nilipowashibisha kwa chakula, wao walifanya uzinzi, wakajumuika majumbani mwa makahaba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mwenyezi-Mungu anauliza: “Nitawezaje kukusamehe ee Yerusalemu? Watu wako wameniasi; wameapa kwa miungu ya uongo. Nilipowashibisha kwa chakula, wao walifanya uzinzi, wakajumuika majumbani mwa makahaba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 “Kwa nini niwasamehe? Watoto wenu wameniacha kwa kuapa kwa miungu batili. Niliwapatia mahitaji yao yote, lakini bado wamefanya uzinzi na kusongamana katika nyumba za makahaba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 “Kwa nini niwasamehe? Watoto wenu wameniacha na kuapa kwa miungu ambayo si miungu. Niliwapatia mahitaji yao yote, lakini bado wamefanya uzinzi na kusongana katika nyumba za makahaba. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Nawezaje kukusamehe? Watoto wako wameniacha mimi, na kuapa kwa hao ambao si miungu; nilipokuwa nimewashibisha chakula, walizini, wakakutana wengi pamoja katika nyumba za makahaba. Tazama sura |