Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 41:4 - Swahili Revised Union Version

4 Ikawa siku ya pili baada ya kumwua Gedalia, wala hapakuwa na mtu aliyejua habari hii,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Siku moja baada ya kumwua Gedalia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Siku moja baada ya kumwua Gedalia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Siku moja baada ya kumwua Gedalia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Siku moja baada ya kuuawa kwa siri kwa Gedalia, kabla mtu yeyote hajafahamu jambo hilo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Siku moja baada ya kuuawa kwa siri kwa Gedalia, kabla mtu yeyote hajafahamu jambo hilo,

Tazama sura Nakili




Yeremia 41:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Ishmaeli akawaua Wayahudi wote waliokuwa pamoja naye, yaani, pamoja na Gedalia, huko Mizpa, na hao Wakaldayo walioonekana huko, yaani, watu wa vita.


wakafika watu kadhaa toka Shekemu, na toka Shilo, na toka Samaria, watu themanini, nao wamenyoa ndevu zao, na kurarua nguo zao, nao wamejikatakata, wakichukua sadaka na ubani mikononi mwao, ili wazilete nyumbani kwa BWANA.


Tena Daudi hakumhifadhi hai mume wala mke, ili kuwaleta Gathi maana alisema, Wasituchongee kusema, Ndivyo alivyofanya Daudi, tena ndivyo ilivyokuwa desturi yake wakati wote alipokaa katika nchi ya Wafilisti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo