Yeremia 38:3 - Swahili Revised Union Version3 BWANA asema hivi, Bila shaka mji huu utatiwa katika mikono ya jeshi la mfalme wa Babeli, naye atautwaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Mwenyezi-Mungu asema kuwa hakika mji huu utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babuloni na kutekwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Mwenyezi-Mungu asema kuwa hakika mji huu utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babuloni na kutekwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Mwenyezi-Mungu asema kuwa hakika mji huu utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babuloni na kutekwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Tena hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: ‘Mji huu kwa hakika utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli, ambaye atauteka.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Tena hili ndilo asemalo bwana: ‘Mji huu kwa hakika utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli, ambaye atauteka.’ ” Tazama sura |