Yeremia 28:2 - Swahili Revised Union Version2 BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nimeivunja nira ya mfalme wa Babeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Nimeivunja nira ya mfalme wa Babuloni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Nimeivunja nira ya mfalme wa Babuloni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Nimeivunja nira ya mfalme wa Babuloni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Hili ndilo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Hili ndilo bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli. Tazama sura |