Yeremia 26:2 - Swahili Revised Union Version2 BWANA asema hivi, Simama katika uwanja wa nyumba ya BWANA, useme na miji yote ya Yuda, wajao ili kuabudu katika nyumba ya BWANA; sema nao maneno yote ninayokuamuru kuwaambia, usizuie hata neno moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Simama katika ukumbi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu, uwatangazie watu wa miji yote ya Yuda wanaofika kuabudu katika nyumba ya Mungu, mambo yote niliyokuamuru uwaambie, bila kuacha hata neno moja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Simama katika ukumbi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu, uwatangazie watu wa miji yote ya Yuda wanaofika kuabudu katika nyumba ya Mungu, mambo yote niliyokuamuru uwaambie, bila kuacha hata neno moja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Simama katika ukumbi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu, uwatangazie watu wa miji yote ya Yuda wanaofika kuabudu katika nyumba ya Mungu, mambo yote niliyokuamuru uwaambie, bila kuacha hata neno moja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: Simama katika ua wa nyumba ya Mwenyezi Mungu na useme na watu wote wa miji ya Yuda wanaokuja kuabudu katika nyumba ya Mwenyezi Mungu. Waambie kila kitu nitakachokuamuru, usipunguze neno. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Hili ndilo bwana asemalo: Simama katika ua wa nyumba ya bwana na useme na watu wote wa miji ya Yuda wanaokuja kuabudu katika nyumba ya bwana. Waambie kila kitu nitakachokuamuru, usipunguze neno. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 BWANA asema hivi, Simama katika uwanja wa nyumba ya BWANA, useme na miji yote ya Yuda, wajao ili kuabudu katika nyumba ya BWANA; sema nao maneno yote ninayokuamuru kuwaambia, usizuie hata neno moja. Tazama sura |