Yeremia 22:9 - Swahili Revised Union Version9 Ndipo watakapojibu, Ni kwa sababu waliliacha agano la BWANA, Mungu wao, wakaabudu miungu mingine, na kuitumikia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wenzao watawajibu, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, wakaiabudu miungu mingine na kuitumikia.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wenzao watawajibu, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, wakaiabudu miungu mingine na kuitumikia.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wenzao watawajibu, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, wakaiabudu miungu mingine na kuitumikia.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Nalo jibu litakuwa: ‘Kwa sababu wameliacha agano la Mwenyezi Mungu, Mungu wao, na wameabudu na kuitumikia miungu mingine.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Nalo jibu litakuwa: ‘Kwa sababu wameliacha agano la bwana, Mungu wao, na wameabudu na kuitumikia miungu mingine.’ ” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Ndipo watakapojibu, Ni kwa sababu waliliacha agano la BWANA, Mungu wao, wakaabudu miungu mingine, na kuitumikia. Tazama sura |