Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 22:7 - Swahili Revised Union Version

7 Nami nitawatayarisha waangamizi juu yako, kila mtu na silaha zake; Nao watakata mierezi yako miteule, na kuitupa motoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nitawatayarisha waangamizi dhidi yako, kila mmoja na silaha yake mkononi. Wataikata mierezi yako mizuri, na kuitumbukiza motoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nitawatayarisha waangamizi dhidi yako, kila mmoja na silaha yake mkononi. Wataikata mierezi yako mizuri, na kuitumbukiza motoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nitawatayarisha waangamizi dhidi yako, kila mmoja na silaha yake mkononi. Wataikata mierezi yako mizuri, na kuitumbukiza motoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Nitawatuma waharibifu dhidi yako, kila mtu akiwa na silaha zake, nao watazikata boriti zako bora za mwerezi na kuzitupa motoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Nitawatuma waharabu dhidi yako, kila mtu akiwa na silaha zake, nao watazikata boriti zako nzuri za mierezi na kuzitupa motoni.

Tazama sura Nakili




Yeremia 22:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Umemshutumu Bwana kwa watumishi wako, kwa kuwa umesema, Kwa wingi wa magari yangu nimepanda juu ya vilele vya milima, mpaka mahali pa ndani ya Lebanoni; nami nitaikata mierezi yake mirefu, na misonobari yake mizuri, nami nitaingia ndani ya mahali pake palipoinuka, palipo mbali sana, msitu wa shamba lake lizaalo sana.


Wajane wao wameongezeka kwangu kuliko mchanga wa bahari; nimeleta mwenye kuteka wakati wa adhuhuri juu ya mama wa vijana; nimeleta uchungu na hofu kuu impate ghafla.


Nami nitawaadhibu kwa kadiri ya matendo yenu, asema BWANA; nami nitawasha moto katika msitu wake, nao utateketeza vitu vyote viuzungukavyo.


Angalia, nitaleta taifa juu yenu litokalo mbali sana, Ee nyumba ya Israeli, asema BWANA; ni taifa hodari, ni taifa la zamani sana, taifa ambalo hujui lugha yake, wala huyafahamu wasemayo.


Ifungue milango yako, Ee Lebanoni, Ili moto uiteketeze mierezi yako.


Basi yule mfalme akaghadhibika; akatuma majeshi yake, akawaangamiza wauaji wale, akauteketeza mji wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo