Yeremia 22:5 - Swahili Revised Union Version5 Lakini kama hamtaki kusikia maneno haya, mimi naapa kwa nafsi yangu, asema BWANA, ya kuwa nyumba hii itakuwa ukiwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Lakini kama hamtatii maneno haya, mimi Mwenyezi-Mungu naapa kwa nafsi yangu kwamba mahali hapa patakuwa magofu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Lakini kama hamtatii maneno haya, mimi Mwenyezi-Mungu naapa kwa nafsi yangu kwamba mahali hapa patakuwa magofu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Lakini kama hamtatii maneno haya, mimi Mwenyezi-Mungu naapa kwa nafsi yangu kwamba mahali hapa patakuwa magofu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Lakini kama hutayatii maagizo haya, asema Mwenyezi Mungu, ninaapa kwa nafsi yangu kwamba jumba hili litakuwa gofu.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Lakini kama hutayatii maagizo haya, asema bwana, ninaapa kwa nafsi yangu kwamba jumba hili litakuwa gofu.’ ” Tazama sura |