Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 21:3 - Swahili Revised Union Version

3 Basi Yeremia akawaambia, Mwambieni Sedekia neno hili,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yeremia akawaambia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yeremia akawaambia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yeremia akawaambia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Basi Yeremia akawaambia, Mwambieni Sedekia neno hili,

Tazama sura Nakili




Yeremia 21:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi; Mwambieni mtu huyo aliyewatuma kwangu,


akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, Mungu wake; wala hakujinyenyekeza mbele ya Yeremia nabii aliponena kwa kinywa cha BWANA.


Tafadhali utuulizie habari kwa BWANA; kwa maana Nebukadneza, mfalme wa Babeli, analeta vita juu yetu; labda BWANA atatutendea sawasawa na kazi zake zote za ajabu, na kumfanya aende zake akatuache.


BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Angalieni, nitazigeuza nyuma silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo kwa hizo ninyi mnapigana na mfalme wa Babeli, na Wakaldayo, wanaowahusuru nje ya kuta zenu, nami nitazikusanya pamoja katikati ya mji huu.


Kwa maana Sedekia, mfalme wa Yuda, alikuwa amemfunga, akisema, Kwa nini unatabiri, na kusema, BWANA asema hivi, Angalia, nitatia mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, naye atautwaa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo