Yeremia 2:9 - Swahili Revised Union Version9 Basi, kwa ajili ya hayo nitateta nanyi, asema BWANA, nami nitateta na watoto wa watoto wenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mwenyezi-Mungu asema, “Kwa hiyo, mimi nitawalaumu nyinyi, na nitawalaumu wazawa wenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mwenyezi-Mungu asema, “Kwa hiyo, mimi nitawalaumu nyinyi, na nitawalaumu wazawa wenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mwenyezi-Mungu asema, “Kwa hiyo, mimi nitawalaumu nyinyi, na nitawalaumu wazawa wenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “Kwa hiyo naleta tena mashtaka dhidi yako,” asema Mwenyezi Mungu. “Nami nitaleta mashtaka dhidi ya watoto wa watoto wako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “Kwa hiyo naleta tena mashtaka dhidi yako,” asema bwana. “Nami nitaleta mashtaka dhidi ya watoto wa watoto wako. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Basi, kwa ajili ya hayo nitateta nanyi, asema BWANA, nami nitateta na watoto wa watoto wenu. Tazama sura |